31 Julai 2012 - 19:30
Msimbo wa Habari: 333632
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kwamba vita kati ya jeshi la nchi yake na waasi vitaamua hatima ya Syria. Amewapongeza pia wanajeshi wake kwa kupambana na kile alichokiita makundi ya magaidi wahalifu.